GE2025 Moza: Tunalipa kodi ya serikali asilimia 18%, kwahiyo hatuna sababu wanawake kulipia magharama ya kujifungua hospitali

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,436
Reaction score
5,234
"hii inawezekanaje? tunalipa kodi ya serikali kila kitu unachokwenda kununua unalipa asilimia 18% hatuna sababu wanawake kulipia magharama ya kujifungua hospitali" amesema Moza.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Akizungumza leo Septemba 20, 2025 kwenye mkutano wake wa kampeni uliofanyika jimboni la Kinondoni Moza amesema moja ya maeneo atakayosimamia ni kuhakikisha wajawazito wanapokwenda kujifungua hawalipi gharama yoyote.

Your browser is not able to display this video.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…