Moto Mkali Soko la Mbuyuni Moshi

mgogo.orijino

Member
Joined
Dec 30, 2011
Posts
26
Reaction score
1
Moto mkali umezuka Eneo la Soko la Mbuyuni hapa Moshi. Moto umeanza muda wa saa Mbili Kasoro usiku huu. Chakushangaza sana ni pale wananchi walivojaa kwa wingi eneo moto ulipotokea. Fire wamewasili eneo la tukio Kama baada ya nusu saa na kwa sasa shughuli za kuuzima moto huo zinaendelea. Chanzo cha moto hadi sasa hakijafahamika
 
Wanataka kujenga jipya ndo style yakuhamisha wafanya biashara kwenye masoko iyo..!
 
Dah kuna jamaa yangu pale anauza nafaka anaitwa Kulaya. Poleni sana
 
Haya majanga ya moto jamani yashaanza tena Du poleni sana e mungu tunusuru
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…