Kuna haja ya kuitishwa kwa kura ya maoni juu ya uwepo wa jamhuri ya muungano na muundo wa muungano.
Rais ajaye inabidi aendane na mabadiliko makubwa ya sayansi na teknolijia hivyo fikra mpya ni muhumu katika kuingoza nchi yetu kuliko kipindi chochote.
Anafikiria kugombea urais wa nchi yetu hata hivyo bado anahitaji zaidi ushauri toka kwa watu mbambali hususani viongozi wa makundi mbalimbali.
Magamba hatuwapi nafasi tena tumechoka!!!si ni mtoto wa chama cha magamba na amenyonya fikara zao za uonevu na uzandiki!!! kapu ni lilelile la ng'e..hatuitaji kupata matatizo tena!!
Magamba hatuwapi nafasi tena tumechoka!!!si ni mtoto wa chama cha magamba na amenyonya fikara zao za uonevu na uzandiki!!! kapu ni lilelile la ng'e..hatuitaji kupata matatizo tena!!