Mobile traker

Mpige chini kimyakimya ila akitaka kujua muambie wewe endelea na uliye naye then kila siku uwe unamtumia msg moja za maddu yake uliyoyadukuwa na kumwambia atulie tuliii usije ukayatupa kwenye mitandao ya jamii kama wassup akose hata mume wa kumwoa akimaliza chuo.
 
Yah mi ndio nilitoa ile link..Hongera kwa kumkamata mpenzi msaliti huyo!
Kama ushahidi tayari upo mezani muwekee wazi tu au piga chini kimya kimya! Usimbwatukie we mshukuru tu kwa kukufanya mjinga muda wote!!!
 
Yah mi ndio nilitoa ile link..Hongera kwa kumkamata mpenzi msaliti huyo!
Kama ushahidi tayari upo mezani muwekee wazi tu au piga chini kimya kimya! Usimbwatukie we mshukuru tu kwa kukufanya mjinga muda wote!!!
Naomba iyo link mkuu
 
Yah mi ndio nilitoa ile link..Hongera kwa kumkamata mpenzi msaliti huyo!
Kama ushahidi tayari upo mezani muwekee wazi tu au piga chini kimya kimya! Usimbwatukie we mshukuru tu kwa kukufanya mjinga muda wote!!!
Mkuu naomba kujua jinsi ya kuipata hiyo application ya mobile tracker.
 
Yah mi ndio nilitoa ile link..Hongera kwa kumkamata mpenzi msaliti huyo!
Kama ushahidi tayari upo mezani muwekee wazi tu au piga chini kimya kimya! Usimbwatukie we mshukuru tu kwa kukufanya mjinga muda wote!!!
Ah Extrovert mtalaam iyo app ni ipi iyo maana na mie nina mchepuko wangu siuelewi elewi ..
 
Kumbe kilamwanaume ana mchepuko mungu atusaidie[emoji17]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…