Raia Fulani JF-Expert Member Joined Mar 12, 2009 Posts 11,866 Reaction score 4,260 Nov 26, 2011 #1 Lakini Yesu si ndio Nabii Issa?
mgen JF-Expert Member Joined Nov 18, 2010 Posts 23,254 Reaction score 9,174 Nov 26, 2011 #2 Raia Fulani said: Lakini Yesu si ndio Nabii Issa? Click to expand... kakufundisha nani! kafanye hili zoezi utajua tu! ukisikia, kiti kiti kiti....Kemea kwa jina la issa toka pepo, kama halikurukia shingoni! lakini kemea kwa Jina la Yesu, utaona linalalama na kuchimba!
Raia Fulani said: Lakini Yesu si ndio Nabii Issa? Click to expand... kakufundisha nani! kafanye hili zoezi utajua tu! ukisikia, kiti kiti kiti....Kemea kwa jina la issa toka pepo, kama halikurukia shingoni! lakini kemea kwa Jina la Yesu, utaona linalalama na kuchimba!
F FELIK PETRO Member Joined Jul 15, 2011 Posts 11 Reaction score 0 Nov 27, 2011 #3 Yesu Ni Mungu. Huyo Issa hana cheo.
MKUNGA JF-Expert Member Joined Dec 10, 2009 Posts 441 Reaction score 72 Nov 27, 2011 #4 Acheni ujinga, tujadili mambo ya msingi.
A abam Member Joined Nov 10, 2011 Posts 65 Reaction score 13 Dec 28, 2011 #5 kaka yesu na issa ndie huyohuyo ni sawa na ibrahim na abraham,ukikataa we kataa tu lakini ukweli utabaki palepale.
kaka yesu na issa ndie huyohuyo ni sawa na ibrahim na abraham,ukikataa we kataa tu lakini ukweli utabaki palepale.