Mo:Simba haitazuilika Msimu Ujao

Kamkamataje me mwenzake kiuno hivyoo!?? 😳😳😓😓😓
 
Waje na Eli Mpanzu season 2, hakuna shida kabisa.
Nafasi yao kwenye ligi kuu msimu ujao ni kati ya 2 na 4. Ubaya uboya.
 
Hapo UTOH na baadhi ya mashabiki maandazi wa simba watakebehi sana Kwa sababu hawapendi kusikia alichoongea tajiri......Ili fitina na matusi yao yaendelee kudhihilika mbele ya wanasimba uchwara wasio na misimamo na timu yao.....
 
Part One iliishaje?

1. Kupanda Ubora Kwenye rank za CAF Kutokea nafasi ya 7 mpaka ya 5.

2. Kufika Fainali ya CAF CC

3. Kufanikiwa kuvuka hatua ya Makundi Michuano ya CAF

Niendelee kutoa iliishaje ' Ubaya Ubwela ' part one.?

Upande Wa pili ndo hatujui ile misemo iliyeyukia Wapi!

Nyie hamuogopi? Gusa achia twende kwao.! na msemo Gani vile? baada ya hapo mkabeba ' vindoo vya mchongo ' Kwa kusaidiwa na Saa100 na Kikwete.

Kule CAF hakuna influence ya saa100 wala JK.. mkaangukia pua Kwa Mc Algers
 
Porojo tu kama kawaida
 
Ni aibu kwa Tajiri anayeheshimika kama MO kutuletea porojo.
Kila mwaka huwa na kauli za aina hiyo lakini msimu ukianza hakuna cha maana.
 
Haya maneno siyo mageni nchini, Lakini mwisho wake kila mtu alijionea.

Hatutaki kuskia kelele za mangungu kujiuzuru!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…