Mnapopendwa pendekeni

...tatizo michaga pure, unatiweza??, maana naskiaga tunaambiwa kuwa sisi wachaga hatujui mavituz, mi muda mwingi nawaza hela tu, labda nitamfikiria miss chagga

We njoo bhana usiwe na shaka nisiporidhika si ntakuwa najazilizia sehem nyingine?
 
Kama hilo ni lengo lako then start acting like a real gentleman...

Wanaume wanaotarajia kuoa huwa wanawashape wake zao watarajiwa na sio wanalalama na kuanza kukimbilia kuwatangaza...

Nimeandika kwa ufupi, hopefully utaelewa...

I like nitatumia ushauri huu pia
 
Asante mi nimeona kama funzo kwetu wanawake wala tusiseme huyu bwana ana mtangaza mupenzi..

Na wanawake wengi tuna ulevi wa mapenzi hasa ukiona mtu ameoza kwako. thats why wengi wanabadilika soon after ndoa kwani washapata hati miliki. kumbe ndoa ni kama gari kuna kukaa na kadi na kuendesha gari.
 
Kama hilo ni lengo lako then start acting like a real gentleman...

Wanaume wanaotarajia kuoa huwa wanawashape wake zao watarajiwa na sio wanalalama na kuanza kukimbilia kuwatangaza...

Nimeandika kwa ufupi, hopefully utaelewa...

respect for you mkuu...umeeleweka vyema na umewasaidia wengine pia.
 

ni kweli yaani, wanajisahau wakifikiri kuwa jukumu la kuonesha mapenzi ni la mwanaume tu, ila hii kitu huwa ipo kwa wanaume pia
 
Mleta mada naomba nikushauri. Tafuta Fedha, mapenzi yatakuja yenyewe baadae, pia inaonekana ulichelewa sana kuanza haya makitu ya mapenzi, kwa hiyo kila unayekutana naye anakuwa kakubuhu na wewe unakuwa huna uzoefu wa kimapenzi. Sisi tuliyoanza haya madude tangu tupo shule ya msingi hayatusumbui kabisaaa.
Mwisho, mapenzi ni kama mchezo, akiwa mpole na wewe unakuwa mpole, akiwa mshenzi na wewe unakuwa mshenzi, akiwa mgomvi unampa mabanzi na mateke ya mbavu, akiwa kicheche na wewe unakuwa kicheche, akiwa mstaarabu na wewe unakuwa mstaarabu, akiwa nyoko na wewe unakuwa nyoko, yote hayo unakuwa mara mbili yake.
 

nashukuru kwa ushauri mkuu, ila kiukweli siyo kwamba nilichelewa kuanza haya mambo, mi nilianza muda mrefu tu, na nina experience ya kutosha, na wala haya mambo hayanisumbui sema ni vile haunifahamu tu,
mi hoja yangu ni kuwa hata kama una experience ya aje, tabia ya mwanamke haibadilishwi na experience yako, but unaweza tumia busara kumbadilisha mwanamke tabia,
 

Tatizo ni kwamba we Mshikaji Mademu haujawalewa, hapo ina maana ulikuwa haupigi bo.lo freshi ila alishindwa tu kukwambia moja kwa moja akaamua kukuanzishia ugomvi, na inaelekea ndiyo udhaifu wako na ndio maana na huyu wa pili anazingua, Hamna chochote Hapo, anza mazoezi ya kukimbia push up kwa sana halafu piga b.o.l.o kisawa sawa utaona mwenyewe wala hautakuja kulia lia humu!
 

hahaa, mkuu kwahiyo mashine ndo mpango mzima, nilihisi tu kutakuwa na watu watakaowaza hivyo, niko vizuri mkuu, "i can make a fourty year woman feel like young lady"
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…