Mnaikumbuka albamu ya soukous star ya mwaka 1995.

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
19,899
Reaction score
37,700
Ilikuwa ni albamu babu kubwa, ndani ya albamu hiyo kulikuwa na nyimbo, Sofia ( eeh sory to sofia, i lov you mwanamaaa ), morenita , Aba Guimo, Robin Pretty, Mama Rhoda. Inanikumbusha mbali sana, enzi hizo sh. mia inaitwa nyanga. Nikisikia nyimbo hizi huwa nawakambuka rafiki zangu wa utotoni akina Halima Hussein ( msichana mzuri kuliko wote duniani ), Swabahi Asunga nawengineo wengi.


Soukous Stars - Sophia (Lokassa Ya M'Bongo) - YouTube
 


Enzi hizo Mungu hajaondoka Africa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…