Mlevi na mhudumu

Chadema 2030

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2025
Posts
1,916
Reaction score
3,747
Mlev alienda baa baada ya kufika akaketi.Akamuita mhudumu akamweleza amletee bia.mhudumu alipoleta bia kulikuwa na watu karbu naye.Mlev yule akaagiza mhudumu awaletee bia maana hapend akinywa watu wakimtazama. Baada ya kunywa bia mlev yule akakwenda kulipia bil.mhudumu akamuliza vip kuhusu wenzio?mlevi akajib sipend kulipa watu wakinitazama nao waje walipie bil yao. Huku mhudumu akiachwa na butwa,huk mlevi akisepa zake.waliyokunywa bia iliwabid walipie bil maan walishindw kumuelewa mlev.
 
Actions always have consequences, especially when you disrespect laws and public order in another country. Accountability isn’t optional.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…