Naamini wazee wa iringa waliompa hata uchifu wamemuelezea namna ya kuishi na wana Iringa. Wanapenda heshima sana tena , ila akileta ujanja ujanja Iringa sio mahala rahisi sana.Na wao wana mawivu kibao tu mzee but nilikuwa nikiongelea incidence iliyotokea mkoani Iringa 2015 hasa kwenye majimbo yaliyokuwa hot ya Iringa Mjini na Kilolo.
Unashabikia kabisa..hiyo ndiyo kazi ya RC??View attachment 852236
Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Ally Hapi, akiwa kwenye studio ya Mwananchi jana, jijini Dar es Salaam, amefichua siri ya Mbunge wa Iringa Mjini Mchungaji Peter Msigwa kujiunga Upinzani kuwa, ilitokana na udhaifu ulioonyeshwa na Watendaji ndani ya Halmashauri na kupata ajenda kwa sababu ya udhaifu wa CCM (ya kipindi hicho).
Hata hivyo, Hapi alielezea juu ya Kampeni yake mpya inayolenga kuboresha sekta ya utumishi wa umma, kilimo, utalii, misitu na afya. Hapi alisema kuwa, hana sababu ya kugombana na Msigwa bali anapaswa aone mwenyewe kwamba Mkuu wa Mkoa amekuja kufanya kazi ili wananchi wawe na imani na Rais wao na Serikali yao, hadi Msigwa aseme: "Jamani sasa huku niliko nafanya nini?"
Hapi alieleza kuwa, Ilani ya Uchaguzi inayotekelezwa sasa ni ya CCM na hata Msigwa anatekeleza Ilani hiyo.
"Nina imani kwa kazi ninazofanya wala sitakuwa na sababu ya kumshawishi Msigwa arudi CCM. Nina imani kabisa mwenyewe nafsi inamsuta na ataona hana namna nyingine isipokuwa kujiunga CCM."
View attachment 852275
View attachment 852238
Kwa vyovyote iwavyo ujio mkoani Iringa wa dogo huyo utamsumbua sana Msigwa come 2020. Nakumbuka mwaka 2015, Mwakalebela wa CCM, alikuwa hot sana kiasi kuwa, wengi walijua Msigwa atapigwa chali basi tu. Na kwa kipindi kile, kulikuwepo msuguano mkubwa sana Mjini Itinga baada ya kuwa watu maarufu walishindwa kufurukuta kwenye kura za maoni za CCM, wakiwemo: Augustine Maiga, Abbas Kandoro (marehemu), Jeca Msambatavangu na wengine. Sasa, Msambatavangu aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama (M) aliposhindwa alikuwa na kinyongo na kumsaidia kisirisiri Peter Msigwa ili ashinde. Kumbuka Msambatavangu alikuwa mtu wa Lowassa na kwa kuwa Lowassa alihamia Upinzani, it seemed as if no one cared that much in Urban Iringa, mpaka baadaye Kampeni kali ya kutumia fedha ilipoubadilisha kabisa Mji wa Iringa kuwa kama umechukuliwa na Mwakalebela. Ndiyo maana Mwakalebela hakuamini kushindwa kwenye Uchaguzi ule na kukataa kusaini matokeo mpaka baadaye ilipomlazimu baada ya hali kuwa worse Mjini Iringa.
So, niki-recall ile situation ya 2015, halafu uweke ujio wa Hapi, wazee kiukweli Msigwa atapata tabu sana mbele ya yule (pichani) jamaa mbobezi wa IR.
Hata hivyo, shida ya Wagombea ubunge wa kinyalukolo wa CCM kipindi kile tangu kwenye Kura za Maoni, ni kuwa walikuwa wakiombeana mabaya dhidi yao wenyewe hasa kwa wale waliokuwa Mawaziri kwani walihofia wenzao kuwa anaweza kuchukua nafasi ya uwaziri ambayo ingeangukia Mkoa wa Iringa. Nadhani wivu huu uko katika kila Mkoa ila huwezi ukaugundua kirahisi, so na wenyewe umesaidia kwa kiwango fulani kuwasaidia Wapinzani. I'm sure you know what am talking about, right?
Ukimaliza kudanga hapo Sinza nijulishe Athuman akufuate.Ban mimi siogopi.Kwani wewe ni msemaji wa Musiba??Acha utoto na kujipendekeza.
Viongozi wa serikali ya awamu hii ni wa hovyo sana mkuu toka kuumbwa kwa ulimwengu huuKazi ya kuwarejesha watu kutoka upinzani kuingia chama tawala ndiyo iliyompeleka huko au ndiyo majukumu ya Mkuu wa Mkoa? Kazi ya mwenyekiti wa CCM mkoa na wenzake mpaka wale wa matawi ni nini sasa?
Yeye ajikite kwenye hayo mengine aliyoyataja ya uboreshaji afya, elimu utalii, usalama wa raia nk bado ataonenekana ni bora kuliko kujiingiza kwenye majukumu mengine kana kwamba ndiyo aliyetumwa vipi pamoja na juhudi hizo bado msigwa akabaki upinzani itakuwaje au ndiyo atatumia njia mbadala ili atimize azma yake?
Mkuu wa mkoa jikite katika kufanya kazi zako za msingi bado wana Iringa watakukumbuka mentality ya kuvuna wapinzani achana nayo haitakusaidia mwishowe utajiingiza kwenye migogoro isiyo na maana Rais kakuamini usimuangushe
Yataenda Mungu alivyopanga. Akili yako na mapenzi yako ni vyako tu siyo vya kijamiiView attachment 852236
Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Ally Hapi, akiwa kwenye studio ya Mwananchi jana, jijini Dar es Salaam, amefichua siri ya Mbunge wa Iringa Mjini Mchungaji Peter Msigwa kujiunga Upinzani kuwa, ilitokana na udhaifu ulioonyeshwa na Watendaji ndani ya Halmashauri na kupata ajenda kwa sababu ya udhaifu wa CCM (ya kipindi hicho).
Hata hivyo, Hapi alielezea juu ya Kampeni yake mpya inayolenga kuboresha sekta ya utumishi wa umma, kilimo, utalii, misitu na afya. Hapi alisema kuwa, hana sababu ya kugombana na Msigwa bali anapaswa aone mwenyewe kwamba Mkuu wa Mkoa amekuja kufanya kazi ili wananchi wawe na imani na Rais wao na Serikali yao, hadi Msigwa aseme: "Jamani sasa huku niliko nafanya nini?"
Hapi alieleza kuwa, Ilani ya Uchaguzi inayotekelezwa sasa ni ya CCM na hata Msigwa anatekeleza Ilani hiyo.
"Nina imani kwa kazi ninazofanya wala sitakuwa na sababu ya kumshawishi Msigwa arudi CCM. Nina imani kabisa mwenyewe nafsi inamsuta na ataona hana namna nyingine isipokuwa kujiunga CCM."
View attachment 852275
View attachment 852238
Kwa vyovyote iwavyo ujio mkoani Iringa wa dogo huyo utamsumbua sana Msigwa come 2020. Nakumbuka mwaka 2015, Mwakalebela wa CCM, alikuwa hot sana kiasi kuwa, wengi walijua Msigwa atapigwa chali basi tu. Na kwa kipindi kile, kulikuwepo msuguano mkubwa sana Mjini Itinga baada ya kuwa watu maarufu walishindwa kufurukuta kwenye kura za maoni za CCM, wakiwemo: Augustine Maiga, Abbas Kandoro (marehemu), Jeca Msambatavangu na wengine. Sasa, Msambatavangu aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama (M) aliposhindwa alikuwa na kinyongo na kumsaidia kisirisiri Peter Msigwa ili ashinde. Kumbuka Msambatavangu alikuwa mtu wa Lowassa na kwa kuwa Lowassa alihamia Upinzani, it seemed as if no one cared that much in Urban Iringa, mpaka baadaye Kampeni kali ya kutumia fedha ilipoubadilisha kabisa Mji wa Iringa kuwa kama umechukuliwa na Mwakalebela. Ndiyo maana Mwakalebela hakuamini kushindwa kwenye Uchaguzi ule na kukataa kusaini matokeo mpaka baadaye ilipomlazimu baada ya hali kuwa worse Mjini Iringa.
So, niki-recall ile situation ya 2015, halafu uweke ujio wa Hapi, wazee kiukweli Msigwa atapata tabu sana mbele ya yule (pichani) jamaa mbobezi wa IR.
Hata hivyo, shida ya Wagombea ubunge wa kinyalukolo wa CCM kipindi kile tangu kwenye Kura za Maoni, ni kuwa walikuwa wakiombeana mabaya dhidi yao wenyewe hasa kwa wale waliokuwa Mawaziri kwani walihofia wenzao kuwa anaweza kuchukua nafasi ya uwaziri ambayo ingeangukia Mkoa wa Iringa. Nadhani wivu huu uko katika kila Mkoa ila huwezi ukaugundua kirahisi, so na wenyewe umesaidia kwa kiwango fulani kuwasaidia Wapinzani. I'm sure you know what am talking about, right?