Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Ally Hapi afichua siri ya Peter Msigwa kujiunga CHADEMA: Adai ana mikakati ya kumrudisha CCM kupitia Kampeni ya Iringa mpya.

Na wao wana mawivu kibao tu mzee but nilikuwa nikiongelea incidence iliyotokea mkoani Iringa 2015 hasa kwenye majimbo yaliyokuwa hot ya Iringa Mjini na Kilolo.
Naamini wazee wa iringa waliompa hata uchifu wamemuelezea namna ya kuishi na wana Iringa. Wanapenda heshima sana tena , ila akileta ujanja ujanja Iringa sio mahala rahisi sana.
 
Unashabikia kabisa..hiyo ndiyo kazi ya RC??

Sent using Nokia Torch 2108
 
Kimsingi wakuu wa mikoa na wilaya ni kama hawana kazi ya kufanya yaani hawana JD japo zimewekwa kwenye sheria mama yaani Katiba na au wameamua kuziweka pembeni na kuamua kutekeleza yasiyokuwepo!
Kuhusu Iringa asahau kabisa kwenda kwa staili ya kumnunua msigwa kwani hatoweza na hauziki kwa bei ndogo ya waitara et al! Msigwa is there to lead wanyalukolo wenzake na siyo kujiuza!
Hebu kama amekosa kazi akaombe vinyungu kule kitwilu au itamba na mawelewele akalime mchicha kwani unalipa!
 
Viongozi wa serikali ya awamu hii ni wa hovyo sana mkuu toka kuumbwa kwa ulimwengu huu
 
Yataenda Mungu alivyopanga. Akili yako na mapenzi yako ni vyako tu siyo vya kijamii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inasikitisha kwa mkuu wa mkoa miongoni mwa vipaumbele vyake viwe ni KUUA UPINZANI, kana kwamba upinzani ni adui kwa mustakabali wa maisha ya wananchi! Cha ajabu majority ya watu wetu wanafurahia move kama hii iliyojaa ujinga, husuda, roho mbaya na ubinafsi. Hapa cha kujifunza ni kuwa CCM wapo kama walivyo kulinda madaraka yao, just imagine kiongozi kama RC badala ya kutekeleza majukumu yake kwa mujibu wa sheria ya bunge yeye anamuwaza Mhe Msigwa kumpeleka kwenye chama kilichochokwa cha ccm. Wakati huo huo tunatarajia kupata maendeleo. Maendeleo gani hayo, never ever, tutaendelea kupiga mark time hivi hivi hadi hapo tutakapojitanbua kama taifa.
CCM licha ya kuwa na uongozi kila mkoa, mkuu wa mkoa naye anajivika kazi za ccm za propaganda chafu dhidi ya vyama vya upinzani.
Kuna matatizo kadhaa miongoni mwa jamii yetu yanayofanya tusipige hatua stahiki ya maendeleo kama yalivyoainishwa na Mwl Nyerere kuwa ni ujinga, umaskini na maradhi, ccm ya leo imeongeza na UPINZANI kuwa adui wa maendeleo.
Sad!
 
Inasikitisha kwa mkuu wa mkoa miongoni mwa vipaumbele vyake viwe ni KUUA UPINZANI, kana kwamba upinzani ni adui kwa mustakabali wa maisha ya wananchi! Cha ajabu majority ya watu wetu wanafurahia move kama hii iliyojaa ujinga, husuda, roho mbaya na ubinafsi. Hapa cha kujifunza ni kuwa CCM wapo kama walivyo kulinda madaraka yao, just imagine kiongozi kama RC badala ya kutekeleza majukumu yake kwa mujibu wa sheria ya bunge yeye anamuwaza Mhe Msigwa kumpeleka kwenye chama kilichochokwa cha ccm. Wakati huo huo tunatarajia kupata maendeleo. Maendeleo gani hayo, never ever, tutaendelea kupiga mark time hivi hivi hadi hapo tutakapojitanbua kama taifa.
CCM licha ya kuwa na uongozi kila mkoa, mkuu wa mkoa naye anajivika kazi za ccm za propaganda chafu dhidi ya vyama vya upinzani.
Kuna matatizo kadhaa miongoni mwa jamii yetu yanayofanya tusipige hatua stahiki ya maendeleo kama yalivyoainishwa na Mwl Nyerere kuwa ni ujinga, umaskini na maradhi, ccm ya leo imeongeza na UPINZANI kuwa adui wa maendeleo.
Sad!
 
Badala ya hoja za maendeleo, yeye anawaza nonsense

Sent using Mikoyan MiG-29
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…