Naamini wazee wa iringa waliompa hata uchifu wamemuelezea namna ya kuishi na wana Iringa. Wanapenda heshima sana tena , ila akileta ujanja ujanja Iringa sio mahala rahisi sana.Na wao wana mawivu kibao tu mzee but nilikuwa nikiongelea incidence iliyotokea mkoani Iringa 2015 hasa kwenye majimbo yaliyokuwa hot ya Iringa Mjini na Kilolo.