Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Ally Hapi afichua siri ya Peter Msigwa kujiunga CHADEMA: Adai ana mikakati ya kumrudisha CCM kupitia Kampeni ya Iringa mpya.

Soma hapo chini ndio ujue ni viongozi wa Kisiasa, hivyo yupo sahihi kufanya afanyacho!....tatizo ni KATIBA
Sawa Mkuu. sasa Bi. Anna Mghwira anatekeleza siasa ya Chama kipi, kilichompa Ukuu wa Mkoa au kilichomwibua akaonekana.
 
Sawa Mkuu. sasa Bi. Anna Mghwira anatekeleza siasa ya Chama kipi, kilichompa Ukuu wa Mkoa au kilichomwibua akaonekana.
Tayari ni Mwanachama wa CCM na majuzi amekabidhiea kadi ya chama hicho!

Je bado utahitaji niendelee kujibu swali lako?
 
Nakusahihisha marehemu abas kandoro alikuwa mgombea jimbo la kalenga na sio iringa mjini
 
Tayari ni Mwanachama wa CCM na majuzi amekabidhiea kadi ya chama hicho!

Je bado utahitaji niendelee kujibu swali lako?
Amekuwa mkuu wa mkoa kuanzia lini na amekabidhiwa Kadi ya uanachama lini?
Au kuna utaratibu wa mtu kuwa mwanachama hata kama Hana kadi ya uanachama
 
Amekuwa mkuu wa mkoa kuanzia lini na amekabidhiwa Kadi ya uanachama lini?
Au kuna utaratibu wa mtu kuwa mwanachama hata kama Hana kadi ya uanachama
Jibu lako liko hapa
 

Attachments

  • 20180831_111517.jpg
    20180831_111517.jpg
    116.8 KB · Views: 18
Jibu lako liko hapa
Kubwa jinga we, kwenye hiyo sheria wanaposema viongozi wa kisiasa wanamanisha viongozi wa kisiasa Kwa ujumla wake ambao ni madiwani,wabunge , na viongozi wa vyama vya siasa, Mkuu wa mkoa ni kiongozi wa watumishi wa umma.
Embu nenda kasome katiba ya CCM kuhusu suala la uanachama upate uelewa.
Anna Ngwira aliteuliwa kuwa mkuu wa mkoa kabla ya kuwa mwanachama wa CCM.
Inaonekana we jamaa ni kilaza sana kama Bashite , **** lako
 
Kubwa jinga we, kwenye hiyo sheria wanaposema viongozi wa kisiasa wanamanisha viongozi wa kisiasa Kwa ujumla wake ambao ni madiwani,wabunge , na viongozi wa vyama vya siasa, Mkuu wa mkoa ni kiongozi wa watumishi wa umma.
Embu nenda kasome katiba ya CCM kuhusu suala la uanachama upate uelewa.
Anna Ngwira aliteuliwa kuwa mkuu wa mkoa kabla ya kuwa mwanachama wa CCM.
Inaonekana we jamaa ni kilaza sana kama Bashite , **** lako
Asante. Nashukuru
 
Hii miaka mitano itakuwa "Another wasted opportunity for the disillusioned people of this country". Tanzania bado hatujapata development minded government na inaonekana, we shall be on the wait list for an indefinite period of time.

Tuna watawala ambao ni opportunists and mere demagogues effectively utilizing our poverty to their advantage and to them development is not their concern nor a priority but to rule with oppression marked by the brutal suppression of dissent and civil liberties. They have nothing positive to offer this country, absolutely nothing I say.
 
Kwa hiyo wenye wivu miongoni mwao ni wana CCM tu kila mkoa? Wapinzani hawana wivu miongoni mwao?
Na wao wana mawivu kibao tu mzee but nilikuwa nikiongelea incidence iliyotokea mkoani Iringa 2015 hasa kwenye majimbo yaliyokuwa hot ya Iringa Mjini na Kilolo.
 
Baada ya awamu ya tano kufeli kabisa katika masuala mazima ya maendeleo ya mtanzania wamejichimbia kwenye siasa taka za kupoteza malengo kwa kipaumbele kipya cha kuua upinzani kwa gharama yoyote hata kama ni kwa kumwaga damu. Aibu ya ngozi nyeusi in cheap politics.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
View attachment 852236

Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Ally Hapi, akiwa kwenye studio ya Mwananchi jana, jijini Dar es Salaam, amefichua siri ya Mbunge wa Iringa Mjini Mchungaji Peter Msigwa kujiunga Upinzani kuwa, ilitokana na udhaifu ulioonyeshwa na Watendaji ndani ya Halmashauri na kupata ajenda kwa sababu ya udhaifu wa CCM (ya kipindi hicho).
Hata hivyo, Hapi alielezea juu ya Kampeni yake mpya inayolenga kuboresha sekta ya utumishi wa umma, kilimo, utalii, misitu na afya. Hapi alisema kuwa, hana sababu ya kugombana na Msigwa bali anapaswa aone mwenyewe kwamba Mkuu wa Mkoa amekuja kufanya kazi ili wananchi wawe na imani na Rais wao na Serikali yao, hadi Msigwa aseme: "Jamani sasa huku niliko nafanya nini?"
Hapi alieleza kuwa, Ilani ya Uchaguzi inayotekelezwa sasa ni ya CCM na hata Msigwa anatekeleza Ilani hiyo.
"Nina imani kwa kazi ninazofanya wala sitakuwa na sababu ya kumshawishi Msigwa arudi CCM. Nina imani kabisa mwenyewe nafsi inamsuta na ataona hana namna nyingine isipokuwa kujiunga CCM."

View attachment 852275

View attachment 852238

Kwa vyovyote iwavyo ujio mkoani Iringa wa dogo huyo utamsumbua sana Msigwa come 2020. Nakumbuka mwaka 2015, Mwakalebela wa CCM, alikuwa hot sana kiasi kuwa, wengi walijua Msigwa atapigwa chali basi tu. Na kwa kipindi kile, kulikuwepo msuguano mkubwa sana Mjini Itinga baada ya kuwa watu maarufu walishindwa kufurukuta kwenye kura za maoni za CCM, wakiwemo: Augustine Maiga, Abbas Kandoro (marehemu), Jeca Msambatavangu na wengine. Sasa, Msambatavangu aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama (M) aliposhindwa alikuwa na kinyongo na kumsaidia kisirisiri Peter Msigwa ili ashinde. Kumbuka Msambatavangu alikuwa mtu wa Lowassa na kwa kuwa Lowassa alihamia Upinzani, it seemed as if no one cared that much in Urban Iringa, mpaka baadaye Kampeni kali ya kutumia fedha ilipoubadilisha kabisa Mji wa Iringa kuwa kama umechukuliwa na Mwakalebela. Ndiyo maana Mwakalebela hakuamini kushindwa kwenye Uchaguzi ule na kukataa kusaini matokeo mpaka baadaye ilipomlazimu baada ya hali kuwa worse Mjini Iringa.
So, niki-recall ile situation ya 2015, halafu uweke ujio wa Hapi, wazee kiukweli Msigwa atapata tabu sana mbele ya yule (pichani) jamaa mbobezi wa IR.
Hata hivyo, shida ya Wagombea ubunge wa kinyalukolo wa CCM kipindi kile tangu kwenye Kura za Maoni, ni kuwa walikuwa wakiombeana mabaya dhidi yao wenyewe hasa kwa wale waliokuwa Mawaziri kwani walihofia wenzao kuwa anaweza kuchukua nafasi ya uwaziri ambayo ingeangukia Mkoa wa Iringa. Nadhani wivu huu uko katika kila Mkoa ila huwezi ukaugundua kirahisi, so na wenyewe umesaidia kwa kiwango fulani kuwasaidia Wapinzani. I'm sure you know what am talking about, right?
Cyprian Musiba???
 
Ccm ipo madarakani toka Hapi hajawa mimba tumboni mwa mama yake.
... Hayo maendeleo ya viwanda ni cherehani 4 (ni uzuzu)
hivi vikuu vya mikoa vya awamu ya 5 vinaokoteleza akili.
 
Yanii

Yaaaini Mkuu wa Mkoa ambaye anapaswa kuwa mtumishi wa watu wote bila kujali itikadi ndo anajipambua hivi !!! Hii nchi inaelekea wapi ? Tangu lini RC akawa kada wa Chama fulani wazi wazi hivi !!!
Kwani aliyewaapisha alisemaje?! Mbona tunajisahaulisha?!
Alisema hakuna kuwa NEUTRAL !!Sasa hapi afanye nini?! Ndio matakwa ya magogoni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii inaonyesha kuwa wabunge wote Wa upinzani ni watu bora kabisa ndio maana kila mkuu Wa mkoa na viongozi Wa ccm agenda ni kuwachukua wabunge hao wawe ccm.
Jee wakiwa ccm watakuwa bora tena au ni kutafuta njia ya kuwanyamazisha?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom