Mkutano wa Chadema Kaloleni

LESIRIAMU

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2008
Posts
9,198
Reaction score
14,904
Hivi sasa Mwenyekiti wa Chadema mkoa anasema Madiwani wa ccm wameridhia kupandisha kodi hata kama uko car wash ulipe packing fee
 
sasa tuanze kuweka mikakati ya kulinda kura maana magamba hayaaminiki!!
 
wanadai a town wote ni wavuta sigara kubwa inayoota chini ya mlima meru
 
Mkuu slufay,kwani hata wangevuta ugoro na pariki shda iko wapi?magamba mtasema yote mwaka huu tunawapga up cut mwanzo mwisho.
 
Hivi magamba wanawezaje kuwahadaa wananchi wa Kaloleni ambao walitaka kuwahamisha baada ya kuuza eneo la makazi yao bila kuwashirikisha na bila kuwalipa fidia hadi pale kamanda Lema aliposimama imara sana kuwatetea na kupinga mpango dhalimu uliokuwa ukifanywa na magamba!
Wananchi wa Kaloleni piga za uso hao maccm wanaojipitisha pitisha huko kwenu.
 
MAGAMBA YANAIBA KURA HAYO......WANA A TOWN YAANGALIE SANA HAYOOOOO:A S-omg::A S-omg:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…