Mkopo wa viwanja Mbagala Chamazi Mbande

Mkopo wa viwanja Mbagala Chamazi Mbande

Gozybusness

Member
Joined
Jul 24, 2022
Posts
23
Reaction score
29
Tunauza na kukopesha viwanja mbagala chamaz mbande bei 1,000,000/=
Maongez yapo kutembelea site ni bure
Contact us 0768041126
1657802499488.jpg
 
Inaonesha Dar itapangika maeneo ya mbali na City center
 
maelezo bado yapo chini toa maelezo yaliyo kamilika
● NEW PROJECT NEW SITE

● RESIDENTIAL LOT FOR SALE

● WHATSAPP LINK gozybusness

▪︎ 0768041126
▪︎ 0689357572

● LOCATION: MBAGALA CHAMAZI MBANDE.

▪︎KILOMETER 1.5 KUTOKA MBANDE MAGENGENI ADI SAIT
▪︎KUTOKA KALIAKO AU TEMEKE UNAPANDA GARI MOJA
▪︎ VIWANJA VIPO SEHEMU TAMBARALE.
▪︎ MLADI UMEZUNGUKWA NA MAKAZI YA WATU.
▪︎ UMILIKI HATI ( TITLE DEED)
▪︎ MALIPO YANAFANYIKA OFFICE ZA SERIKALI YA MTAA.
▪︎ UDUMA ZOTE ZA KIJAMII ZIPO
▪︎ VIWANJA VIMEPIMWA KISASA
▪︎ KULIPA KWA AWAMU.

● UKUBWA NA BEI (FUTI )

  • 50×30=800,000/=
  • 50×40= 1,200,000/=
  • 50×50=1,500,000/=

● UDUMA ZA KIJAMII

_ MAJI
_ UMEME
_ SHULE
_ SOKO
_ ZAHANATI
_ BARABARA NZURY ZINAZO PITIKA N.K

● PAYMENT MODE

_ CASH
_ MKOPO (INSTALLMENTS)

● N.T KWA WANAOTAKA KUTEMBELEA MLADI WETU KARIBU SANA .
 
VIWANJA VIPO MBAGALA CHAMAZ MBANDE
BEI 1,000,000/=
KULIPA KWA AWAMU
MALIPO YANAFANYIKA OFFICE ZA SERIKALI YA MTAA
MAONGEZI YAPO
UKUBWA FUTI 40X50
KUONA NI BURE NA SIKU YOYOTE
0768041126
 
Hakuna kiwanja kwenye kata ya chamazi.

Iwe Mbande, Rufu, Kisewe, Kiponza, Chamazi magengeni kwa bei hiyo.

Hawa jamaa wanawauzia kata ya tambani, wilaya ya mkuranga, tarafa ya Mkuranga kwenye vijiji kama Tambani, Mwanadilatu, Kimbangulile, Mlamleni na Mipeko.

Kwa Sasa biashara imeshamiri Kijiji Cha Mipeko ambacho kimepasuliwa na bonde la mto mzinga, kifupi ni eneo la vilima na mabonde.

Kipindi Cha masika mawasiliano yanakata kati ya Mipeko na kata ya chamazi hivyo wakazi kukosa mahitaji.

Hakuna daraja na mto haueleweki, hata mvua zikinyesha Kisarawe ujue huku kwenda mjini mpaka uogelee.

Wanachonikela hawaelezi uhalisia.
 
Hakuna kiwanja kwenye kata ya chamazi.

Iwe Mbande, Rufu, Kisewe, Kiponza, Chamazi magengeni kwa bei hiyo.

Hawa jamaa wanawauzia kata ya tambani, wilaya ya mkuranga, tarafa ya Mkuranga kwenye vijiji kama Tambani, Mwanadilatu, Kimbangulile, Mlamleni na Mipeko.

Kwa Sasa biashara imeshamiri Kijiji Cha Mipeko ambacho kimepasuliwa na bonde la mto mzinga, kifupi ni eneo la vilima na mabonde.

Kipindi Cha masika mawasiliano yanakata kati ya Mipeko na kata ya chamazi hivyo wakazi kukosa mahitaji.

Hakuna daraja na mto haueleweki, hata mvua zikinyesha Kisarawe ujue huku kwenda mjini mpaka uogelee.

Wanachonikela hawaelezi uhalisia.
Ahsante kwa comment boss
 
Je, Nilichoeleza ni Cha Uongo?
Elezeni ukweli wateja wenu, sio unawaambia chamazi mbagala Mbande.s

Je, Nilichoeleza ni Cha Uongo?
Elezeni ukweli wateja wenu, sio unawaambia chamazi mbagala Mbande.
Siwez kusema ni uongo au ukwel maana uo ni mtazamo wako mm ndo ninae uza na ninajua nauza wap ila kwakuwa ww umeamua kukoment kwa miemuko na kushindwa kueshim kaz za watu anyway nakujua vizur ivo siwez kukulaumu
 
Unanijulia wapi wewe?

Acha utapeli siku nyingine
Elezeni taarifa sahihi kuwa viwanja vilipo hasa hapa jamii forum.

Kuwa vipo tarafa ya Mkuranga,wilaya ya mkuranga katika Kijiji A au B.

Ili ufike jitahidi panda gari za Kuelekea Mbande.

Ukishuka utapanda bajaji au pikipiki.

Eneo hili limetengana na Mkoa wa Dar es Salaam kwa bonde la mto Mzinga.

Mto Mzinga una matawi yaliyokata baadhi ya vijiji hasa Mipeko , Kimbangulile na Mlamleni.

Daraja lililojengwa ni kuunganisha na Kijiji Cha Tambani, kata ya Tambani.

Kama ni kitongoji Cha Mwanadilatu uwaambie bonde la Mzinga limekata pia hivyo hakuna matumaini ya daraja kujengwa Leo au kesho.

Mteja utakaye mpata atakuwa na A au B taarifa za awali kabla ya kuja kushuhudia, achilia mbali kununua.

Nadhani nimeshauri kitaalamu.

Kama unanifahamu nadhani wafahamu hayo maeneo nayajua vyema na Nina viwanja katika vijiji tajwa hapo juu
 
Unanijulia wapi wewe?

Acha utapeli siku nyingine
Elezeni taarifa sahihi kuwa viwanja vilipo hasa hapa jamii forum.

Kuwa vipo tarafa ya Mkuranga,wilaya ya mkuranga katika Kijiji A au B.

Ili ufike jitahidi panda gari za Kuelekea Mbande.

Ukishuka utapanda bajaji au pikipiki.

Eneo hili limetengana na Mkoa wa Dar es Salaam kwa bonde la mto Mzinga.

Mto Mzinga una matawi yaliyokata baadhi ya vijiji hasa Mipeko , Kimbangulile na Mlamleni.

Daraja lililojengwa ni kuunganisha na Kijiji Cha Tambani, kata ya Tambani.

Kama ni kitongoji Cha Mwanadilatu uwaambie bonde la Mzinga limekata pia hivyo hakuna matumaini ya daraja kujengwa Leo au kesho.

Mteja utakaye mpata atakuwa na A au B taarifa za awali kabla ya kuja kushuhudia, achilia mbali kununua.

Nadhani nimeshauri kitaalamu.

Kama unanifahamu nadhani wafahamu hayo maeneo nayajua vyema na Nina viwanja katika vijiji tajwa hapo juu
Umemaliza kila kitu. Safi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom