benjamin bosco Member Joined Jun 27, 2019 Posts 12 Reaction score 7 Jul 3, 2019 #1 Wana Jf naomba kuuliza jamani hv kwa wale walio maliza,kidato cha nne na kuchaguliwa moja kwa moja kwenda chuo kuna uwezekano wa kupata mkopo ASANTEN PIA NATEGEMEA MAJIBU MAZURI
Wana Jf naomba kuuliza jamani hv kwa wale walio maliza,kidato cha nne na kuchaguliwa moja kwa moja kwenda chuo kuna uwezekano wa kupata mkopo ASANTEN PIA NATEGEMEA MAJIBU MAZURI
isaacsendama Member Joined Feb 21, 2016 Posts 76 Reaction score 21 Jul 3, 2019 #2 benjamin bosco said: Wana Jf naomba kuuliza jamani hv kwa wale walio maliza,kidato cha nne na kuchaguliwa moja kwa moja kwenda chuo kuna uwezekano wa kupata mkopo ASANTEN PIA NATEGEMEA MAJIBU MAZURI Click to expand... Inategemeana na programme uliyochaguliwa eg Education especially in science subjects wanapata mkopo
benjamin bosco said: Wana Jf naomba kuuliza jamani hv kwa wale walio maliza,kidato cha nne na kuchaguliwa moja kwa moja kwenda chuo kuna uwezekano wa kupata mkopo ASANTEN PIA NATEGEMEA MAJIBU MAZURI Click to expand... Inategemeana na programme uliyochaguliwa eg Education especially in science subjects wanapata mkopo
benjamin bosco Member Joined Jun 27, 2019 Posts 12 Reaction score 7 Jul 3, 2019 Thread starter #3 Duuh me nko IT
Zambotti JF-Expert Member Joined Jul 2, 2016 Posts 1,983 Reaction score 3,669 Jul 3, 2019 #4 HAKUNA UWEZEKANO HUO
benjamin bosco Member Joined Jun 27, 2019 Posts 12 Reaction score 7 Jul 3, 2019 Thread starter #5 Duuh poa mwamba