Mkeo vs Mchepuko!

MKE AKIANZA MAMBO YA SACOSS NA UJASILIAMALI HATAKI TENA AKILI NI SACCOSS.MCHEPUKO MUDA WOTE YUPO TAYARI
 
 
Mwanamke ukijitambua na kuchukua nafasi yako unakua zaidi ya mchepuko nikukubali kujifunza na kubadikika kusoma upepo wa mumeo upoje uende nao sambamba zama za sasa sio miaka hio asaivi wanawake tumeamua kutuliza ndoa zetu tofaut na na mwanzo hata mume akichepuka anachepuka waziwazi nawe unaona but now anajifikiria kuchepuka
 
Midume mingine hua haiwashirikishi wake zao na haiko tayari kuwafundisha unataka chapat mwambie mkeo ajitahidi sio kwakua hajui kupika basi ndo unaenda huko kupikiwa unafikiri mchepuko nae alianza anajua?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…