mkuyati og
JF-Expert Member
- Apr 19, 2011
- 821
- 589
Hii stori tuPoleni kwa majukumu wakuu.
Kakangu ni mtu wa kusafiri nje ya nchi kwa ajili ya biashara zake.na ninakoishi mimi na kakangu ni kama mita 80.na sababu ya mimi kwenda kuishi pembeni kidogo na kakangu ni baada ya kumtambua tabia ya shemeji yangu kunitaka kimapenzi,sasa amekua na tabia yake ya kuniita kwake baada tu ya yeye kusikia nimesharudi kutoka kwenye mihangaiko yangu,sasa ninapofika kwake anaanza mitego yake,( nadhani mnajua mitego ya hawa wanawake).
Hii ndo kali kali zaidi,jana kakangu kanipigia simu,ananiomba niende nyumbani maana amepigiwa simu na wife wake kuwa mtoto anaumwa niende na kama atakuwa na hali mbaya nimkibize hospital,na ilikuwa mida ya saa tano usiku,kufika home kwa bro nikamkuta shemeji yangu yuko mezani anakunywa wine,na anajua napenda sana wine,(na mtoto alikuwa cyo mgonjwa ni ujanja wa shem tu),kumbe mle kwenye wine aliweka dawa (vayagra) ndani ya dakika kumi hivi mshipa ulikuwa na hali mbaya zaidi.kilichotokea siri ya shemeji yangu. Hiki kitendo kinaniuma sana alafu namueshimu sana bro.naona tu nimwambie bro.ushauri
Kubishana na mtu kama wewe nadhani nitakuwa sijitendei haki. Jumapili njemaKama haikuhusu unachangia ya nn,ulishatafuniwa
Unajua we jamaa ni kenge kwa sabb zifuatazo;
Hukuwa na nia nzuri na kaka yako tangu awal kwa maana ulikuwa na nia ovu,hivyo inatakiwa uhukumiwe.
Umeshamla mke wa kakayo na ulikuwa hupendi kwa sabb zako binafsi,sasa unakuja jamii forum wakushauri nini?
Wewe uko tayal hata kula njama kumua kaka yako,suala Viagra c ungemwita hata demu wako?wwe ni kenge tena w a maji barid.
Sasa cha kufanya kaka yako namjua nitamwambia huu ujinga wako ili liwe somo na kwa watu wengine,SITAKAGI UJINGA MM
sisi papuchi tunazitafuta kwa garama tgena kubwa wewe unapewa utamu wa bure unalia???khaa wanaume wengine bana.....mvue chupi mkune vizuri acha ujingaPoleni kwa majukumu wakuu.
Kakangu ni mtu wa kusafiri nje ya nchi kwa ajili ya biashara zake.na ninakoishi mimi na kakangu ni kama mita 80.na sababu ya mimi kwenda kuishi pembeni kidogo na kakangu ni baada ya kumtambua tabia ya shemeji yangu kunitaka kimapenzi,sasa amekua na tabia yake ya kuniita kwake baada tu ya yeye kusikia nimesharudi kutoka kwenye mihangaiko yangu,sasa ninapofika kwake anaanza mitego yake,( nadhani mnajua mitego ya hawa wanawake).
Hii ndo kali kali zaidi,jana kakangu kanipigia simu,ananiomba niende nyumbani maana amepigiwa simu na wife wake kuwa mtoto anaumwa niende na kama atakuwa na hali mbaya nimkibize hospital,na ilikuwa mida ya saa tano usiku,kufika home kwa bro nikamkuta shemeji yangu yuko mezani anakunywa wine,na anajua napenda sana wine,(na mtoto alikuwa cyo mgonjwa ni ujanja wa shem tu),kumbe mle kwenye wine aliweka dawa (vayagra) ndani ya dakika kumi hivi mshipa ulikuwa na hali mbaya zaidi.kilichotokea siri ya shemeji yangu. Hiki kitendo kinaniuma sana alafu namueshimu sana bro.naona tu nimwambie bro.ushauri
kama maelekezo aliyokupa Ni kwenda kufanya ulichofanya basi mpe ripoti hiyoPoleni kwa majukumu wakuu.
Kakangu ni mtu wa kusafiri nje ya nchi kwa ajili ya biashara zake.na ninakoishi mimi na kakangu ni kama mita 80.na sababu ya mimi kwenda kuishi pembeni kidogo na kakangu ni baada ya kumtambua tabia ya shemeji yangu kunitaka kimapenzi,sasa amekua na tabia yake ya kuniita kwake baada tu ya yeye kusikia nimesharudi kutoka kwenye mihangaiko yangu,sasa ninapofika kwake anaanza mitego yake,( nadhani mnajua mitego ya hawa wanawake).
Hii ndo kali kali zaidi,jana kakangu kanipigia simu,ananiomba niende nyumbani maana amepigiwa simu na wife wake kuwa mtoto anaumwa niende na kama atakuwa na hali mbaya nimkibize hospital,na ilikuwa mida ya saa tano usiku,kufika home kwa bro nikamkuta shemeji yangu yuko mezani anakunywa wine,na anajua napenda sana wine,(na mtoto alikuwa cyo mgonjwa ni ujanja wa shem tu),kumbe mle kwenye wine aliweka dawa (vayagra) ndani ya dakika kumi hivi mshipa ulikuwa na hali mbaya zaidi.kilichotokea siri ya shemeji yangu. Hiki kitendo kinaniuma sana alafu namueshimu sana bro.naona tu nimwambie bro.ushauri