Mke bora wa kuoa

TOURMALINE

Senior Member
Joined
Jan 4, 2013
Posts
125
Reaction score
24
Narudi kwenu tena waungwana.Bado cjampata ninayemtafuta.Naombeni msada wenu wa hali na mali.
 
Narudi kwenu tena waungwana.Bado cjampata ninayemtafuta.Naombeni msada wenu wa hali na mali.


kigezo namba mbili.. ticked! waalimu wameshaajiriwa sasa.. wahi nafasi!

hapo namba tatu ndipo ulipofeli kijana... no woman who is that much wafekti!!
 
Kwani kanda ya ziwa wao sio watu?
 
akikuoa ww asiwe na wivu kwasababu kwa jinsi ulivyo kila mwanaume lazma atakutaman hata awe hanith
Atanunua gobore, nyumba aizungushe mizinga ya nyuki,na papuchi aifungie mita anaweka units anatumia zote...
 
Msaada wa hali ni huu wa mawazo na ushauri unaoupata hapa ila wa mali itakuwa ngumu tena sana
 
Narudi kwenu tena waungwana.Bado cjampata ninayemtafuta.Naombeni msada wenu wa hali na mali.

saa swali ni lipi? endelea kumtafuta, kwani?

advice yenye naeza kakupea ni hakikisha umemchagua kwa uhalisi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…