Dah, uko vizuri ila hapo kwenye kimo am a super tall,utakua unanifikia tumboni
Duh, haya mkuuKwenye mgegedo atakufikia hadi kukupita
Kwa upande wako eeh, mi hizi sifa hazipo kabisa!Dah...mwanaume anahitaji sifa 2 tu...
1. Nguvu nyingi za uchumi...
2. Nguvu imara za misuli....
Dah, uko vizuri ila hapo kwenye kimo am a super tall,utakua unanifikia tumboni
HahahahahahaDah, uko vizuri ila hapo kwenye kimo am a super tall,utakua unanifikia tumboni
Hi Doctor wa kienyeji!, how's your Sunday?
Hahaaa, unataka nikitoka out na mume wangu ,wanambie nimetoka na last born wangu eeh
Don't take it too serious mkuu, nilikua natania tu, btw umemuuliza yeye anataka warefu kumzidi?, maana kuna wakaka wengine hawapendi kuzidiwa urefu na wake zao. Vipi wewe mwenyewe unakimo kile eeh(si Kwa utetezi huu)
Hahaaaawewe ndio super tall? Ukija kwetu ww ndio utakuwa mbilikimo.
Jamani sorry vitumbua eater, jiaminiiiI feel attacked
Aisee, unapenda angekua kidogo mfupi kwako eeh, huwa inapendeza ila Kama mnapendana haina mbaya, jiamini mnapendana bana.Mie hapa nina demu wangu jah mrefu yaani naonaga aibu kutoka naye out! I love her, but height difference. Her being taller than me weak me
Hahaaaakweli urefu wangu niwe mbilikimo kwenu duh, basi nyie ni nomaa
Dah...asikudanganye mtu....uwezo was kulipa bills na "kunyanyuka" ndiyo sifa kuu za mwanaume....hizo nyingine siasa tuKwa upande wako eeh, mi hizi sifa hazipo kabisa!nna sifa zanguu, nahitaji awe na roho mbaya kama yakoo
Kazi kweli kweli na wanaume tusivyopenda kuzidiwa.
Let’s be honest, Hivi kuna mwanamke anayependa mwanaume mfupi kama sio pesa tu ??.
Asubuhi nimeamka nikainhia YouTube, nikaangalia plastic surgery inayoongeza urefu. I was impressed, nitafanya follow up kiukweli nijue kama naweza kuafford. I am really nit comfortable being shorter than a most of ladies, very disgusting