Mpe pole sana,mwambie hakuna jipya chini ya jua ila linapokukuta ndio hua tatizo kubwa,simwambii kua ni rahisi kuhimili jambo hili lakini ajikaze kiume na aongee na mzee wake kujua kama nikweli sio kawaida kwa mzazi kumfanyia mwanawe hasa wakiume,wala haina haja yakuyafanya yakawa makubwa yule ni mzee wake vyovyote itakavyo kua,mke unaweza pata mwengine lakini mzazi awe mzuri ni huyo huyo awe mbaya ndio huyo huyo,amuombe sana mwenyezi mungu ampe nguvu
na moyo wa subra..