Mkanganyiko wa Fikra

mnavira

Member
Joined
Apr 11, 2014
Posts
22
Reaction score
13
Naomba MSAADA wa mawazo wadau wangu. Hivi wanyama mfano Ng'ombe, nyati, Chui au Tembo huwa wanaugua magonjwa ya Zinaa/ya ngono mfano kaswende, kisonono na pangusa? Kama ndiyo wanaponaje? Ikiwa wanaumwa magonjwa hayo utawatambuaje? Kama hawaumwi kwa nini magonjwa haya yaathiri wanadamu zaidi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…