Mjadala wa katiba na BBC leo

Mjomba umeeleza vizuri sana. Sasa wale vichwa ngumu kama tena watashindwa kuelewa hapa basi wajue vichwa vyao vimejaa makamasi.
 
bi kiroboto alisema kamati haiwezi zunguka mikoani kwa kuwa yeye yupo india!pumbafu kafanya bunge ni kampuni yake binafsi
 
kina Anna Kilango wapo wengi eti wabunge walizunguka mpaka vijijini kupata maoni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…