MJADALA HURU:- Said Issa Mohamed

Eng. Y. Bihagaze

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2011
Posts
1,487
Reaction score
913
Ndugu wanajamvi ..

! Ukweli tuuseme tu SINA mistari Mingi ya kumuelezea Makamu Mwenyekiti wa CDM Zanzibar, Said Issa Mohamed, lakini siku Moja nilibahatika kusikia interview Yake Na waandishi wa habari Kwenye uwanja Wa Ndege Zanzibar akijiandaa Na Safari ya kichama nje ya nchi..juu ya Udini unaoongelewa Ndani ya Chama.

Kichwa hiki Kiliongea point sana, nadhani ni moja Kati ya Hazina safi kabisa Chadema. Embu anaejua zaidi atujuze Ndani ya mhadala huru .
 
Sisi hatujui ila kwa vile ulisikia interview yake basi wewe ndio utuelezee kwa ufasaha nini kasema,maana sisi hatujui tutakujuvya nini??
 
Kuna Mbunge Viti Maalumu wa chadema anayetoka Zanzibar??
 

Ni sawa mkuu uko sawa., lakini sitegemei kutokea kiongozi wa siasa atakayeulizwa suala kuhusu chama chake ni cha kidini akaunga mkono., yeye anafahamu hivyo lakin pengine na jengine lipo
 
Wala hatotokea hd chama kitakufa.

Tukusema magamba hamna uelewa mnabisha? Kazi yenu kuropoka ropoka tu kama wenda wazimu vile.Ndiyo maana nakubaliana na ile slogan kuwa ukiona kijana yupo ccm siyo bure ujue tahira hiyo na wala hajitambui. Wamekujibu sasa wewe kenge kabisa.
 

mbona pointless tupu. Aje agombee bara ndio atajijua yeye ni kichwa au maka...lio.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…