Bi dentamol
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 1,038
- 2,190
😀😀😀haya unayotusimulia na yeye umemwambia katika namna ya kumzodoa?
Tunaojua kutunza magari ni wachache Sana mara nyingi ishu sio namba EFM Bali ni mmiliki mwenyewe alikuwa ni mjinga Tu
Hizo gari hazina shida kabisaa
Ila nyie wanaume mfikie hatua muwe mnasikiliza ushauri wa wanawake wenu sometimes tunawazidi akili
Mzee alienda kutafuta gar, kapata kanipigia nimepata used ila namba E nikamwambia ongeza hela chukua mpya uwe wakwanza kuitumia kwa hapa tz,, akaniona fala akaichukua iyo ajabu kaendesha siku 2, imechemka mara anaambiwa sijui gasket imefanyaje nimemrudia kumwambia jiandae kilasiku gereji kwa kutofata ushaur... muwasikilize wake zenu jmn
Gari ni mitsubish outlander EFm