IT wetu hawana ubunifu? Router ambazo hazina watumiaji wengi nje ya mipaka hawawezi kuzi-unlock, wanasubiri wazungu na wachina wawatafunie wao wameze

gearbox

JF-Expert Member
Apr 20, 2024
239
687
Hapo zamani mitandao ilileta routers na modem za kampuni maarufu kama Huawei na zote,

Ma IT na mafundi wengi waliweza kuzifungua kwasababu wazungu, wachina, wahindi, waarabu, n.k. walikuwa wanaumiza vichwa kubuni mbinu za kuzifungua, mafundi wetu walikuwa wanafuata maelekezo, modem na router zinafunguka tunatumia lain zote.

Uwanja umebadilika mitandao imeanza kuleta routers na modems ambazo hazina watumiaji wengi, yani wanaleta modem na router ukizisechi mitandaoni ni ngumu sana kukuta mbinu ya kuzifungua sababu zina watumiaji wachache sana huko nje, hapo inabidi ma IT wetu ndio wawe wabunifu.

Yani tukipeleka hivyo vifaa kwa mafundi wanakujulisha mapema "kama sio huawei au zote siwezi kukusaidia"

Ni kwamba ma IT wetu bila kutafuniwa hawawezi?
 
Hapo zamani mitandao ilileta routers na modem za kampuni maarufu kama Huawei na zote,

Ma IT na mafundi wengi waliweza kuzifungua kwasababu wazungu, wachina, wahindi, waarabu, n.k. walikuwa wanaumiza vichwa kubuni mbinu za kuzifungua, mafundi wetu walikuwa wanafuata maelekezo, modem na router zinafunguka tunatumia lain zote.

Uwanja umebadilika mitandao imeanza kuleta routers na modems ambazo hazina watumiaji wengi, yani wanaleta modem na router ukizisechi mitandaoni ni ngumu sana kukuta mbinu ya kuzifungua sababu zina watumiaji wachache sana huko nje, hapo inabidi ma IT wetu ndio wawe wabunifu.

Yani tukipeleka hivyo vifaa kwa mafundi wanakujulisha mapema "kama sio huawei au zote siwezi kukusaidia"

Ni kwamba ma IT wetu bila kutafuniwa hawawezi?
Kazi ya IT si ku unlock router. Na hao waliotengeneza si wapumbav, wanajua kuna watu wata attempt kufanya hivyo so huwa wana kaza lakini pia ni kinyume cha agreent ya matumizi ya kifaa chenyewe iwapo utafanya hivyo
 
Kazi ya IT si ku unlock router. Na hao waliotengeneza si wapumbav, wanajua kuna watu wata attempt kufanya hivyo so huwa wana kaza lakini pia ni kinyume cha agreent ya matumizi ya kifaa chenyewe iwapo utafanya hivyo
Yaani nyuzi nyingi zinawaandama watu wa IT kama ni mafisadi vile.Tatizo watu hawapendi kufuatilia nyuzi zote za humu jukwaani.Kuna memba alishatoa uzi kuhusu tofauti ya IT,CS na CE...IT ni mtu wa kutumia mifumo na kutatua matatizo madogomadogo labda aamue kujiongezea maarifa.Kazi kubwa ni za watu wa CS na CE
 
Back
Top Bottom