Ukweli ulivyo kitwanga anashinda,mgombea wa chadema/ukawa hana hata uwezo wa kufanya kampeni,anazidiwa na madiwani. Hapo chadema walichemsha,pamoja na kupewa taarifa juu ya uwezo wa mgombea,wao hawakusikia.
Ukweli ulivyo kitwanga anashinda,mgombea wa chadema/ukawa hana hata uwezo wa kufanya kampeni,anazidiwa na madiwani. Hapo chadema walichemsha,pamoja na kupewa taarifa juu ya uwezo wa mgombea,wao hawakusikia.