Mgombezi
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 610
- 178
Pamoja na kudai tusihusishe imani yeyote lakini naomba kunukuu:
6 Kisha BWANA akamwambia Kaini, Kwa nini umekasirika? Kwa nini uso wako una huzuni? 7 Ukifanya lililo sawa, hutakubalika? Lakini usipofanya lililo sawa, dhambi inakuvizia mlangoni mwako, inakutamani wewe, lakini inakupasa uishinde. Mwanzo 4:6-7
Neema ya Mungu iwe juu yako katika kufanya maamuzi sahihi.
6 Kisha BWANA akamwambia Kaini, Kwa nini umekasirika? Kwa nini uso wako una huzuni? 7 Ukifanya lililo sawa, hutakubalika? Lakini usipofanya lililo sawa, dhambi inakuvizia mlangoni mwako, inakutamani wewe, lakini inakupasa uishinde. Mwanzo 4:6-7
Neema ya Mungu iwe juu yako katika kufanya maamuzi sahihi.