Ki
ukweli ni kuwa Hapo Kimara Matangini CHADEMA, Stop Over CHADEMA,
michungwani CHADEMA, Wafuasi wa CDM wanaandamana kushangilia ushindi na Polisi wanawatawanya
kwa Risasi, Ila waapiga juu...
Weweeee!! Mwenzio saa Hii Yuko mvunguni na mlangoni kapanga matofali...na sii ajabu pia uko chini ya kitanda ameshapaffanya cHoo halafu unamwambia atoke!!?? Chezea risasi wewe!!!