Miliki Nyumba yako kwa bei poa.

Miliki Nyumba yako kwa bei poa.

peaci

Member
Joined
Jul 29, 2016
Posts
34
Reaction score
25
Nauza Nyumba kwa bei poa kabisa, kuanzia milioni 15, 20, 25, 30, 40, 50......200. Kwa maeneo ya CHAMAZI. Swali lolote unaruhusiwa kuuliza na utajibiwa.
 
Nauza Nyumba kwa bei poa kabisa, kuanzia milioni 15, 20, 25, 30, 40, 50......200. Kwa maeneo ya CHAMAZI. Swali lolote unaruhusiwa kuuliza na utajibiwa.
Siku nyingine ukiwa na biashara kama hivi uwe unaweka na vielelezo vya kutosha Kama picha, ramani, maelekezo ya kina ya jinsi ya kufika, vielelezo vya umiliki au Kama wewe ni dalali pia sema
 
1472557009096.jpg
1472557036052.jpg
1472557052610.jpg
1472557066430.jpg
 
Du yani we jamaa!??? Weka kila picha na bei yake basi
 
Nauza Nyumba kwa bei poa kabisa, kuanzia milioni 15, 20, 25, 30, 40, 50......200. Kwa maeneo ya CHAMAZI. Swali lolote unaruhusiwa kuuliza na utajibiwa.
Udalali haramu huo, hata picha au vielelezo vyovyote hakuna kisha unategemea upate mteja?!
 
Back
Top Bottom