Milango ya mninga inauzwa

Milango ya mninga inauzwa

sorony makoba

Member
Joined
May 16, 2014
Posts
10
Reaction score
0
Milango ya mninga inauzwa kwa bei poa,ipo single na double kwa mawasiliano piga.0783201037.

Single:upana 33 kwa 210 urefu.
Double:upana 45 kwa 210 urefu.
 
Wewe jamaa kila leo unafungu thread mpya! Ukiambiwa weka bei, picha, mahali ulipo na size ya milango unakimbia. Wewe ni tapeli? Maana matapeli ndio hupendelea kupigiwa simu kwa sababu anakuwa hana details zingine zozote zaidi ya ujanja ujanja.
Milango ya mninga inauzwa kwa bei poa,ipo single na double kwa mawasiliano piga.0783201037.
 
Kama vipi apigwe BAN tu maana hana faida zaidi ya kudhulumu dhulumu...:shetani::shetani::shetani::shetani::shetani:
 
Wewe jamaa kila leo unafungu thread mpya! Ukiambiwa weka bei, picha, mahali ulipo na size ya milango unakimbia. Wewe ni tapeli? Maana matapeli ndio hupendelea kupigiwa simu kwa sababu anakuwa hana details zingine zozote zaidi ya ujanja ujanja.
wewe jamaa mimi nfanya biashara halali sina utapeli WA hali yoyote,nashkuru sana maana unaongea usicho kijua.
 
Jana nillimpigia akasema ataweka bei naina kimya.

Mrs.kurunzi.Bei single 33 kwa 210,bei n'180000 na double 45 kwa 210 bei n'280000.wapendwa mimi ni mgeni WA haya mambo,nmepata ushauri kuwa naweza tangaza biashara yngu zaidi online,sasa tunavo itana utapeli hata sijui yanatoka wapi,mimi mpiganaji na naheshimu ninachokifnya.nashkuru.
 
Mimi natengeneza milango ya mninga ila bei zinaanzia 450000, bei inaweza pungua kidogo kulingana na idadi ya milango unayoitaka. Picha za chini ni baadhi ya kazi zetu.kwa mawasiliano 0782370200 na 0754255734
 
Mparanyanga hiyo bei yako ni pamoja na frame au bila frame? Huku Arusha 350,000 - 400,000 pamoja na frame. Msiniulize wapi, Nenda Rafiki garage nyuma ya Lion Safaris pale Raskazo, kama unaelekea majengo
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom