Milango bora ya Mninga na Mkongo

Huyu jamaa kama alivyosema hapo juu sio fundi ila dalali kwa haiyo hapo ameshaweka na cha kwake cha udalali

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeshamsoma ndio maana na mimi nikamwambia nimeweka hizo bei kutokana na picha ya milango aliyoiweka mwisho kakubali dizain hiyo hiyo unaweza ukuipata sehemu kwa nafuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…