Aisee Ushimen upo free muda huu? Nakuja unipe ile dawa ya kukamata wezi hapa mjini na yale matunguli uliyonipa awali ili nimkamate Mshana Jr bado sijafanikiwa kwani kila akipita hapa nyumbani, anaruka kwa kupitia nyumba za jirani kwangu hapiti.
Aisee Ushimen upo free muda huu? Nakuja unipe ile dawa ya kukamata wezi hapa mjini na yale matunguli uliyonipa awali ili nimkamate Mshana Jr bado sijafanikiwa kwani kila akipita hapa nyumbani, anaruka kwa kupitia nyumba za jirani kwangu hapiti.
Nimeshamsoma ndio maana na mimi nikamwambia nimeweka hizo bei kutokana na picha ya milango aliyoiweka mwisho kakubali dizain hiyo hiyo unaweza ukuipata sehemu kwa nafuu