Milango bora ya Mninga na Mkongo

able1986

Member
Joined
Jul 18, 2017
Posts
19
Reaction score
5
Habari za leo wadau,kwa wale ambao mnajenga nyumba kwa ajili ya makazi au biashara basi msisite kututafuta kwa ajili ya kuwapatia milango bora ya mbao ngumu(Mninga na mkongo)Milango yetu tunaitengenezea tabora ila tunaisafirisha popote pale mteja alipo

Bei zetu ni nafuu sana tofauti na wengine kama ifuatavyo:-

Single top pekee...... .........Tsh 350,000/-
Double top pekee...............Tsh 550,000/-
Single frame pekee............Tsh 200,000/-
Double frame pekee...........Tsh 250,000/-
Single frame +top...............Tsh 550,000/-
Double frame +top.............Tsh 800,000/-

email:- adonaimilangoshop@gmail.com

Call/whatsapp +255 625 808 748

Karibuni sana

*note:-bei hizi ni pamoja na usafiri



Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • IMG_20180815_133228.jpg
    96.3 KB · Views: 253
Mkuu huu si mninga maji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekuelewa
Je mtu akinunua mbao utamtengenezea kwa bei gani?
 
Hizo milango bei imechangamka sana wenzio single wanauza 300000 double 450000-500000 halafu huo sio mninga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…