Mikopo Kwa wafanyabiashara yenye gharama nafuu

Mikopo Kwa wafanyabiashara yenye gharama nafuu

mew 123

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2024
Posts
307
Reaction score
193
Habari
Inawezekana ukawa wewe ni mfanyabiashara ambaye biashara yako ina changamoto ya upungufu wa fedha yaani ukawa na mtaji mdogo na hivyo kupelekea kukosa taswira nzuri na kushindwa kuaminika na kupelekea kukosa wateja na pengine kutoswa Vizur ndani ya jamii.
Pengine ukosefu wa mtaji wa kutosha kumepelekea kuwa na cash flow ndogo kwani wateja hawapati huduma Bora au bidhaa Bora.
Huenda pia umashindwa kufanya uwekezaji wa kutosha Kwa sababu hauna pesa ya kutosha na haujui uitoe wapi?
Usihofu kama wewe ni mfanyabiashara na una uhitaji wa pesa ili kuboresha huduma au biashara yako basi OZB FINANCE AGENT tutakusaidia kupata mkopo Kwa uharaka na gharama nafuu
Kupitia mdhamana wa KADI YA GARI utapata mkopo kuanzia million Moja Hadi SHILING milioni 40
Kupitia mdhamana wa nyumba au Kiwanja chenye hati utapata mkopo kuanzia million Tano Hadi SHILING milioni 500
Wasiliana NAMI kupitia 0686153806 Whatsapp
0695123029 normal calls and normal messages
Asante
OZB FINANCE AGENT
 
riba ni kiasi gani kwa mwezi?
Akikujibu nitag processing fee,riba kwa mwaka mwingine wa fedha haiongezeki,vipi nikitaka kulipa mkopo kwa mkupuo inawezekana au ndo mpaka muda mlionipangia
 
Back
Top Bottom