Mikopo african capital

Mikopo african capital

Joined
Oct 3, 2016
Posts
74
Reaction score
23
African capital ni taasisi inayohusiana na utoaji wa mikopo kwa watumishi/ wafanyakazi wa serikalo dar es salaam. Ni kwanzia laki mbili mpaka million kumi na malipo ni kwanzia miezi sita mpaka miaka mitano. Riba 18% kwa mwaka
Masharti ni uwe mfanyakazi wa serikali, uwe na kitambulisho cha kazi na cha uraia, picha moja, bank statement na salary slip tatu za miezi ya hivi karibuni. Tupo maeneo ya posta mpya karibu na NMB HOUSE . Kwa mawasiliano zaidi piga simu 0653099785
 
Christina kweli hapo umetukwamua......ngoja nije
 
Hata nikiwa napokea mshahara kima cha chini kabisa 120,000?
 
African capital ni taasisi inayohusiana na utoaji wa mikopo kwa watumishi/ wafanyakazi wa serikalo dar es salaam. Ni kwanzia laki mbili mpaka million kumi na malipo ni kwanzia miezi sita mpaka miaka mitano. Riba 18% kwa mwaka
Masharti ni uwe mfanyakazi wa serikali, uwe na kitambulisho cha kazi na cha uraia, picha moja, bank statement na salary slip tatu za miezi ya hivi karibuni. Tupo maeneo ya posta mpya karibu na NMB HOUSE . Kwa mawasiliano zaidi piga simu 0653099785
Unanipa mashaka/wasiwasi...
Hii ni kutokana na bandiko lako uliloliweka kabla ya hili......angalia mwanangu usijenyofolewa macho.
 
Sisi wa sekta binafsi naona tumetengwa, ila naweza kuwashauri jamaa zangu wa karibu waje kuzungumza na nyie,

Je kuna dhamana yoyote inayohitajika ? Maana na hii tumbua tumbua unaweza kuta amekopa leo halafu kesho ametenguliwa
 
Sisi wa sekta binafsi naona tumetengwa, ila naweza kuwashauri jamaa zangu wa karibu waje kuzungumza na nyie,

Je kuna dhamana yoyote inayohitajika ? Maana na hii tumbua tumbua unaweza kuta amekopa leo halafu kesho ametenguliwa
Hamna dhamana yoyote
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom