Mifuko ya kuhifadhia nafaka bei ya kutupa 500

Mifuko ya kuhifadhia nafaka bei ya kutupa 500

Chris wood

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2020
Posts
1,667
Reaction score
5,056
Nina uza mifuko ya kuhifadhia nafaka inabeba kilo 120
Iko pisi 600. Mfuko mmoja nauza shilingi 500
Mahali ni Goba ,Dar es Salaam
Mahali popote ukitaka nakutumia
Mawasiliano 0654757823
20220507_121458.jpg
20220507_121611.jpg


20220507_121611.jpg
 
Nilikua naongea na wife, huu mwaka (May 2022 - June 2023) utakua na njaa sana hadi.
Sasa tumepanga kutinza mpunga gunia 5, mahindi gunia 2 na maharage gunia 1.
Dahhhh.... Mungu atunusuru kwenye hili baa la njaa lijalo.
 
Nilikua naongea na wife, huu mwaka (May 2022 - June 2023) utakua na njaa sana hadi.
Sasa tumepanga kutinza mpunga gunia 5, mahindi gunia 2 na maharage gunia 1.
Dahhhh.... Mungu atunusuru kwenye hili baa la njaa lijalo.
Kila la kheri baba Naomi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom