Wakuu, mwenye kuijua hii program naomba anipe ujuzi kidogo. Mfano vitu vya mhimu ni kama vipi? Je, hasahasa inatumika kwa mambo yapi?
Mfano mtu akikuuliza unajua nini katika microsoft excell unapaswa kumjibu vitu vipi ambavyo ni mhimu katika program hiyo?
Sent using
Jamii Forums mobile app