Miche ya Miti inauzwa

Miche ya Miti inauzwa

Bitabo

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2011
Posts
1,900
Reaction score
689
Miche bora kabisa ya miti inauzwa. Bustani iko Rondo- mkoani Lindi mkabala na ofisi za TFS.
Miti iliyopo ni :-
1. Tectona grandis (Mtiki- Misoji)
2. Eucalyptus grandis na Camaldulensis (Mkaritusi- Mlingoti)
3. Cedrella odorata (Mwerezi)
4. Khaya anthoteca (Mkangazi)
5. Pinus (Mipaina- Msindano)
6. Casuarina equisetifolia (Mvinje)

Bei inaanzia Tshs. 1700 mpk 1300 kutegemea na idadi unayohitaji (ukubwa wa order yako). Kwa walio kwenye mikoa ya Ruvuma, Mtwara, Lindi, Pwani, DSM na Morogoro unaweza kusafirishiwa miche mpk shambani kwako (kama panafikika kwa gari) kwa makubaliano maalum.
Kwa mawasiliano;- 0763 788000 (Whatsapp only), email: teakrondo@gmail.com
Karibuni sana

View attachment 430678 View attachment 430681 View attachment 430682 View attachment 430683 View attachment 430684 View attachment 430685 View attachment 430686 View attachment 430687 View attachment 430688 View attachment 430689
 
Group hili nikwa wakulima WA miti ya mitiki.

Lengo Nikupeana ushauri juu ya upandaji na uvunaji pamoja na changamoto mbali mbali zinazolenga maswala ya miti.

Pia Nikujua masoko ya ndani na nnjee.

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom