...hii issue ya Osama wakati mwingine inanichanganya tu!, wapo wanaosema Osama hakufa mmarekani muongo!,kama kweli alikufa kwanini hawakuonesha alipozikwa?!
....kwa hiyo scnario yako ya pili kuhusu huyo daktari,hapo nathibitisha kitu,sababu ilisemekana kwamba, hata huyo Osama mwenyewe alikuwa ni zao la mmarekani,km kawaida yao, wakishamaliza kukutumia kwa manufaa yao lazima wakupoteze!
Kuna ukweli fulani kwenye kifo chakeSijui akili yangu ikoje!,yaani naweza kuamini OSAMA alikufa lakini si kuuawa na mmarekani na wala si tarehe kama ya leo.
We ni sawa na mimi mkuu yan akili yangu haitak kabisa kuamin kuwa osama kauwawa na mmarekanSijui akili yangu ikoje!,yaani naweza kuamini OSAMA alikufa lakini si kuuawa na mmarekani na wala si tarehe kama ya leo.
Bro mshana mimi hii habari ya kuuawa kwa Osama kama vile siiamini.Habari katika picha View attachment 344226Osama bin Laden enzi zake za kutafutwa sana
daktari aliyefanikisha chanjo bandia(yuko lock up) asubuhi ya usiku wa shambulizi linalosemekana kumuua osama ulinzi siku zilizofuatia baada ya shambulizi Hatimaye makazi ya mtu aliyetafutwa zaidi duniani yalibomolewa na kusafishwa kabisa kuepuka kuacha alama yoyote
Sio maiti yake tuu hata mazishi na kaburi lake havipo....ikibidi mmarekani atumie na tiba mbadala kuweza kumpata jamaaBro mshana mimi hii habari ya kuuawa kwa Osama kama vile siiamini.
mbona umetuonesha picha za makazi yake wakati yakiwa yameshambuliwa na wakati yanabomolewa, PIA ulinzi mkali je mbona kama kweli alikuwa hatujaoneshwa japo maiti yake?
Mpaka sasa ndio ukweli pekee wenye ithibati nyingi kuwa kafa! Na kwakuwa na yeye mwenyewe yuko kimya kabisa hatoi hata video moja? Basi kwasasa inabidi tu tuamini hivyoSitokaa niamini kuwa huyu jamaa kauwawa na mmarekani na pia sitoamini kuwa alikufa tarehe tajwa
Yawezekana kafa ila sio tarehe tajwa mkuu na wala hajauwawa na mmarekanMpaka sasa ndio ukweli pekee wenye ithibati nyingi kuwa kafa! Na kwakuwa na yeye mwenyewe yuko kimya kabisa hatoi hata video moja? Basi kwasasa inabidi tu tuamini hivyo
Sadam Hussein alinyongwa hadharani... Media zote kubwa duniani zilionesha!! sasa huyu Osama mbona yeye ishu yake ipo "classified" sana!!!
Kesi ya Saddam ni tofauti! Kwa kiasi kikubwa yeye alichokozwa akachokozeka lakini yeye alikuwa na address head of the state Osama was a stateless figure na akaenda kuwa tandika kwenye ardhi yao hii ni dharau kubwa sana kwa mmarekaniSadam husen tulionyeshwa kila kitu mpaka wakat wanamnyonga
Jee hilo gaid la dunia hata maiti yake isionyeshwe?
Hata kabur lake?
Itachukua muda sana Mimi kuamini hilo