Mh Mrema katika pozi la kutuma sms nje ya bunge!!!!!!!!!!

Mh hii kali...ina maana Mrema ni mamluki???sasa mbona kachakaa hivyo hizo hela za umamluki anapeleka wapi??maskini usikute anasingiziwa Mzee wa watu. I still admire him, ni kati ya wapinzani mahiri wasioogopa chochote.

Mkuu utasoma alama za nyakati tu...!!!!
 
kwani kutuma sms ni vibaya?wabongo acheni hizo,eti mtu akituma sms hana hela kachoka!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…