Tongue blister
JF-Expert Member
- Jun 19, 2009
- 362
- 11
Mh hii kali...ina maana Mrema ni mamluki???sasa mbona kachakaa hivyo hizo hela za umamluki anapeleka wapi??maskini usikute anasingiziwa Mzee wa watu. I still admire him, ni kati ya wapinzani mahiri wasioogopa chochote.
Mkuu utasoma alama za nyakati tu...!!!!