Ssii wakazi kijiji cha kichangani kata maweni wilaya Tanga mwenyekiti amepoteza sifa kwa kushindwa kiitisha mikutano kwa miaka 2 bila kuwa na sababu za msingi tusaidieni ilitupate maendeleo
Tatizo sio chama ni mtu mmoja mbabe hata chadema wapo jibu hapa ni mamlaka za nidhamu kuingilia kati na kiitisha uchaguzi wa kujaza nafasi kama kanuni inavyosema