Hizi ni sifa za mgombe uongozi wa ccm ktk ngazi yoyote
JAZIA AU KANUSHA ISIYOFAA
1.lazima uwe mtoto wa kigogo serikalini
2.uwe na charecter za wizi
3.uwe schooless/Hujaelimika
4.uwe mgonjwa ili ukapate matibabu india
5.uwe unakubali kila kitu kwa kusema ndiyo na kupiga makofi