Mfahamu popo

Thewildlife_tz

Senior Member
Joined
Apr 23, 2019
Posts
127
Reaction score
85
TUANGALI TABIA ZA POPO (BAT) KWA UFUPI

Popo ni wanyama warukao na ndio wanyama pekee wenye uwezo huu kuna species zipatazo 1300 za popo

Popo wanakula wadudu kama chakula japo kuna popo wapo marekani wanaitwa vampire bats hao hunywa damu tu

Popo wanakula mbu zaidi ya 1000 kwa muda wa saa moja wakati wa usiku

Digestion ya popo hufanyika kwa dakika 20 tu tumboni (sisi masaa mawili)

Hawa ni nocturnal animals yani mchana hawaoni na hupumzika ila usiku ndo hua active

Popo wanatengeneza ultrasonic sound ambazo ni kali sana na zinapasua chochote kilichombele ili ipite sasa tungekua tunasikia tungepasua ngoma za sikio

Wanaishi miaka 40 na wanashika mimba kuanzia siku 40-mpaka 6 months inategemea na specie na huzaa mtoto mmoja kwa mwaka

Wanaishi kijamii sana wanaweza wakawa kumi mpaka 50 eneo moja

.instagram Thewildlife_tz
.
@blacksniper
 
Mkuu hiyo ultra sound inaweza kupasua chochote.... means inatoboa ukuta?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…