mpira umekwisha barca 3-1,najua wapenzi wa chelsea mioyo inawadunda,endapo kesho mtashinda barca hao...patakuwa hapatoshi.MPIRA UNADUNDA LAKINI C KWENYE MATOPE.
amini usiamini ac milan ni bonge la timu kwani bila ya penati za utata walikuwa wameshatoka kweli milan ni noma mpaka hapa asernal ni kali uwanja wanyumbani kuliko barca..
amini usiamini ac milan ni bonge la timu kwani bila ya penati za utata walikuwa wameshatoka kweli milan ni noma mpaka hapa asernal ni kali uwanja wanyumbani kuliko barca..