Messages tracking

Nafikiri huu ndio utakuwa mwisho wake wa kukufuatilia
 
Nafikiri huu ndio utakuwa mwisho wake wa kukufuatilia

Nina imani,kuweza kufika hapo labda kuna kilichofanyika kitakachomzuia,lakini iwe fundisho kwa kila mtumiaji,unapokuwa na access sehemu utambue kwamba kuna wengine wanafika na zaidi,hivyo hakuna siri,kila mtumiaji angejaribu kuhakikisha anatumia sahihi chombo chake
 
Ni somo refu la kumtrack mtu mkuu pole tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…