maswali yako ni mazuri sana, hata hivyo naomba nikukumbushe kuwa ufisadi tz umeanzia kwenye mtaa. inaonekana jamaa alitoa rushwa bara kote alikopita akaishiwa kabla ya kutoka pemba. Bara acheni umbumbumbu, nilishangaa sana kona wasomimi wanasukuma gari la jairo unafikiri itawezekana kukomesha uharamia wa rasilimali zetu kwa staili hii.