Kwani upinzani ni uhaini, Katiba si inaruhisu,Membe
Hafai kabisa. Fadhila alizopata ndani ya CCM hawezi kuzisaliti kamwe kwa kuwapenda wapinzani. Lakini pia ikumbukwe huyu alikuwa Mwana inteligensia wa kada ya juu sana. Kiapo chake hakina tofauti na cha Freemason. Huyu alikuwa mwanadiplomasia wa kimataifa akiwakilisha nchi kiapo chake ni sawa na cha Illuminati. No way anaweza kwenda kinyume na viapo vya serikali ya ccm na dola zake. Nashindwa kuelewa ung'amuaji wa mambo haya wa Akina Zitto et al. La sivyo tutaanza kuamini kumbe na wao ni kundi moja tu.
Naunga mkono hojakwamba sisi hatuna akili za kujifunza ya nyuma ? Muwe na subira na Pia mtambue Kuwa Kuna Watu wana akilitimamu
Nitacheka sana, baada ya kumaliza kazi iliyomleta na kusema "narudi nyumbani". Wakati huo mpo hoi bin taabanPoliccm lazima wamsubiri mlangoni
Unakumbuka yaliyotokea kwa Balozi Juma Mwapachu kule Zanzibar mwaka 2010?? Hayakuwa tofauti na ya Lowasa, Sumaye.Kwani upinzani ni uhaini, Katiba si inaruhisu,
Unadhani upinzani utaweza shinda na kuapishwa bila support ya intelligence?
Nataka nisiwe miongoni mwa watakao jutiaNitacheka sana, baada ya kumaliza kazi iliyomleta na kusema "narudi nyumbani". Wakati huo mpo hoi bin taaban
kwamba sisi hatuna akili za kujifunza ya nyuma ? Muwe na subira na Pia mtambue Kuwa Kuna Watu wana akilitimamu
Zitto pia haaminiki, i don't trust him at all
Nitacheka sana, baada ya kumaliza kazi iliyomleta na kusema "narudi nyumbani". Wakati huo mpo hoi bin taaban
Sitasahau aliyoyafanya miezi miwili kabla ya uchaguzi wa 2010 kulikuwa na uzi humu kuhusu maswali ya wengi aliyoshindwa kuyajibu baadaye akaombwa ufutwe ukafutwa. Akaanzisha uzi wa kuomba radhi kwa matendo yake Chadema nadhani ilikuwa December 2011 au 2012 kabla ya kufukuzwa Chadema. Aliulizwa maswali mengi na wengi humu akaishia kujiuma uma huo uzi nao akaomba ufutwe ukafutwa. Si wa kumuamini huyo hata chembe.
Chama DolaPoliccm lazima wamsubiri mlangoni
TAARIFA KWA UMMA.
Kesho tarehe 16 Julai 2020, Waziri wa Mambo ya Nje Mstaafu, Mwanasiasa na Mwanadiplomasia mbobezi Ndugu Benard Membe atazungumza na Wanachama wa ACT Wazalendo.
Ukumbi: Mlimani City
Muda: Saa 4.00 Asubuhi.
Waandishi wote mnakaribishwa.
Janeth Rithe, Naibu Katibu, Idara ya Habari, Uenezi na Mahusiano na Umma, ACT Wazalendo.
Simu: 0745899913
15 Julai 2020.View attachment 1507601
Chama DolaMbona kwa mara ya kwanza naona wamenuna!
Mnafiki mkubwa wewe, leo unashangalia mafanikio y upinzani??Chadema inazidiwa kete na ACT! kwanza walimnyakua Maalim Seif kitendo hicho kiliwaudhi sana chadema, Yerico Nyerere mpaka leo ana maumivu ykihotokana na kitendo cha Zitto kumnyakua Seif!
Safari hii tena wamenyakua Membe huku chadema ikiendelea kukuna sharubu tu na mwenyekiti wake kuteguka kwa ulevi na kusingizia amepigwa na selikali!
Mbowe sijui anajisikiaje anapoona chama cha Zitto kina shine, mtu ambae akimfukuza kama mbwa, huku wafuasi wa Mbowe wakimtukana Zitto matusi ya kila aina?
Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
Chama Dola
Haitakubali Wanaongea Kibari Wanacho Ama Ndugu Lawama.
Nia ni kuipoteza maboya CHADEMA...Membe
Hafai kabisa. Fadhila alizopata ndani ya CCM hawezi kuzisaliti kamwe kwa kuwapenda wapinzani. Lakini pia ikumbukwe huyu alikuwa Mwana inteligensia wa kada ya juu sana. Kiapo chake hakina tofauti na cha Freemason. Huyu alikuwa mwanadiplomasia wa kimataifa akiwakilisha nchi kiapo chake ni sawa na cha Illuminati. No way anaweza kwenda kinyume na viapo vya serikali ya ccm na dola zake. Nashindwa kuelewa ung'amuaji wa mambo haya wa Akina Zitto et al. La sivyo tutaanza kuamini kumbe na wao ni kundi moja tu.
Ambaye ni Lazima awe Tundu Lissu la Sivyo watanzania hawatakubali na zitawanyika tena.Tatizo kula za upinzani zitagawanywa. Itakuwa vyema kwa upinzani kama Membe na Lissu wakaweka makubaliano ya kumsapoti mmoja wapo kwa nafasi ya urais
Naona kitu kama hicho Kwa hiyo Zitto anatumika kudidimiza upiznaniNia ni kuipoteza maboya CHADEMA...
Hili nalo linahitaji degree kung'amua??
Yupo kazini huyo.