rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 18,073
- 25,748
Si nchi maana hakuna nchi isiyo na vyombo vya dola! hakuna nchi isiyo na kiti UN.
Hawa watu ni waajabu sana, wamesahau kuwa mishahara ya Rais wa ZNZ hadi mfagiaji inatoka hazina Dar.
Wamesahau kuwa gharama za wabunge 50 zinatoka hazina.
Wamesahau kuwa si Ikulu wa maskani wanalipa umeme
Wameshau kuwa Spika na BWL wote ni wafaidika wa mishahara na mafao ya Tanganyika
Wamesahau kuwa Gharibu Bilal amepewa Bilioni 32 kwa ajili ya ZNZ
Wamesahau kuwa hawana bajeti ya jeshi wala polisi
Wamesahau kuwa viongozi wao wote wastaafu wanalipwa na Tanganyika
LET ZNZ GO! Hawa watu uwezo wao wa kufikiri unatisha! uchoyo na umimi umewajaa sana!
Sidhani kuwa wanahitaji ZNZ huru, wanachohitaji ni elimu kumwekea kila mznz huru.
It only takes a fool to believe in this asinine and wild allegation. Hivi kama hali ingekuwa hivi na Zanzibar wakawa wana haki na hicho kinachozungumzwa hali ingekuwa shwari hivi? Hakuna hata wakati mmoja ambao misaada imewahi kutolewa kwa jina la zanzibar ikapitia kwa serikali ya muungano. Watu wamejiunga na kukutanishwa na matatizo yao na sasa wanaamua kutaka kusingizia matatizo yao kwa Membe. Ndiyo wale wale wanaotuhumiwa kuwa na kampuni iliyosajili meli za Iran na sasa wanatunga uongo ambao hata mtoto wa chekechekea hawezi kuuamini.
Sasa wanawashambulia wale ambao ni voice of reason na walioonyesha objectivity kuhusu muungano kwa kuwaita wasaliti. Wakitaka kuondoka waondoke salama badala ya kutafuta visingizio vya kijinga!
Mbopo,
Naomba utuweke sawa kuwa:
Hivi ni kweli ZNZ walipewa 200 billion?
na je ni kweli Membe hajatia signature?
kwani hizi pesa za bilateral zinatakiwa kutiwa sign na Membe au waziri wa Fedha?
Protocol inasemaje?
Kama ni za development projects kwa nini serikali ya UAE isiingize direct kwenye miradi ya maendeleo huko ZNZ kama wanavyofanya waChina?
Ufukuaji huu ni kazi yako eh...Membe ni hatari kaburiii
HahaUfukuaji huu ni kazi yako eh...
Membe ni hatari kaburiii
Na makaburi mwafukua?
Na siku ukisikia Membe kahamia chama flani cha upinzani hao hao wafukua makaburi ndio watakuwa wasifiaji wake wakuuUfukuaji huu ni kazi yako eh...