Siku ya Tarehe 29/10/2010, saa moja kamili jioni katika kituo cha ITV kutakuwa na mdahalo wa mgombea urais kwa ticket ya CUF Prof. Ibrahim Lipumba, mdahalo huo umeandaliwa na VOX Media wakishirikiana na ITV. Kwa nini amealikwa mgombe mmoja tuu mbona wagombea wa vyama vingine hawajaalikwa kujumuika na Prof. Lipumba.