Mdada wa kazi anahitajika

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
37,347
Reaction score
56,075
Anahitajika dada wa kazi za nyumbani, majukumu yake ni kama yafuatayo:-
  • Kufanya usafi wa nyumba, kufua, kudeki, kuosha vyombo
  • Kupika
  • Kucheza na watoto
Ujuzi
  • Elimu ya msingi, sekondari au ualimu wa chekechea
  • Awe ni mtu anayependa usafi, kwake mwenyewe pamoja na mazingira yanayomzunguka.
Malipo
  • Mshahara kwa mwezi 100,000/=
  • Matibabu bure
  • Kula kulala bure
Muda wa mkataba
  • Miezi miwili, kwa sababu aliyepo anaenda mapumzikoni
Faida zingine
  • Kama atakuwa mcheshi, mtu wa kujituma na kujifunza vitu vipya; baada ya mkataba anaweza kuendelezwa na kufanya kazi zingine
Kama upo mkoa wa kilimanjaro au Arusha, itakuwa vizuri zaidi; kwa sababu eneo la kazi ni Arusha.
 
Mimi nina nduguyangu anahitaji. Ni pm. Nikunganishe naye
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…